Nkurunziza kuwaachia huru wafungwa 1,200

Rais Pierre Nkurunzinza wa Burundi na Katibu Mkuu wa UM Ban Ki-moon wakiongea na Waandishi Mjini Bujumbura.

Katibu Mkuu wa Umoja wa mataifa akiwa ziarani nchini Burundi amekutana kwa mazungumzo na rais wa Burundi Pierre Nkurunziza, ambapo Ban amesema rais huyo ameahidi kuondoa vikwazo dhidi ya vyombo vya habari, na kuwaachia huru wafungwa 1,200,

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS