Serikali kuongeza madaktari wengi waliosajiliwa

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Mhe. Dkt. Hamis Kigwangalla.

Serikali imesema kuwa ina mkakati mahsusi wa kuhakikisha wanaongeza kiasi cha madaktari ambao wamesajiliwa kwa ajili ya kutoa huduma za afya ili kuwa na madkatari wengi zaidi wanaofanyakazi kwenye serikali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS