Chuo Kikuu Makumira chatoa milion 10 za madawati Chuo Kikuu cha Tumaini tawi la Makumira kilichopo wilayani Arumeru, kimetoa Shilingi milioni kumi, kwa ajili ya ununuzi wa madawati miambili, kwa shule za Halmashauri ya Meru wilayani Arumeru. Read more about Chuo Kikuu Makumira chatoa milion 10 za madawati