Naibu Spika Tulia azidi kuchapa kazi bila upinzani
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limeendelea na vikao vyake kama kawaida Mjini Dodoma ambapo wabunge wa kambi ya upinzani wameendelea na ajenda yao ya kutoka nje kila siku ambapo Naibu Spika Tulia Ackson ataongoza kikao cha Bunge.