Halmashauri zatakiwa kuajiri afisa maendeleojamii
Wizara ya afya maendeleo ya jamii ,jinsia, wazee na watoto kupitia idara ya maendeleo ya jamii inazitaka halmashauri zote nchini kutoa kuipaumbele katika kuajiri maafisa maendeleo ya jamii kwani uhitaji wao ni mkubwa sana kwenye jamii.