Yanga kuwashitaki waliochukua fomu za uchaguzi TFF Klabu ya Yanga umewataka wanachama wote waliochukua fomu za kugombea uchaguzi wa Klabu hiyo kupitia Shirikisho la Soka nchini TFF kufika kamati ya maadili ya klabu ya yanga ili kujadiliwa. Read more about Yanga kuwashitaki waliochukua fomu za uchaguzi TFF