Muguruza amtwanga Serena kwa rekodi French Open

Garbine Muguruza akishangilia baada ya kumshinda Serena Williams katika fainali ya French Open.

Hatimaye baada ya miaka 19 Mhispania wa kwanza Garbine Muguruza amefanikiwa kumshinda mchezaji namba moja duniani kwa wanawake mchezo wa tenisi Mmarekani Serena Williams na kushinda taji la michuano ya Wazi ya Ufaransa [French Open 2016].

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS