Muguruza amtwanga Serena kwa rekodi French Open
Hatimaye baada ya miaka 19 Mhispania wa kwanza Garbine Muguruza amefanikiwa kumshinda mchezaji namba moja duniani kwa wanawake mchezo wa tenisi Mmarekani Serena Williams na kushinda taji la michuano ya Wazi ya Ufaransa [French Open 2016].