Wakurugenzi iheshimuni kazi yenu- Jaji Kaganda

Kamishna wa Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Salome Kaganda

Kamishna wa Tume ya Maadili ya Utumishi wa Umma Jaji mstaafu Salome Kaganda amewataka wakurugenzi 185 walioteuliwa kuiheshimu kazi yao na kuhakikisha wanafanya kazi kwa mujibu wa sheria na taratibu za sheria za umma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS