Mashabiki wenye wazimu wa England waanza yao Euro.

Mashabiki wa England na Urusi wakipigana mitaa ya Old Port Jiji la Marseille, baada ya kulewa.

Kama ilivyo ada ama destuli ya mashabiki wenye wazimu wa mpira kutoka nchini Uingereza kufanya fujo pindi timu yao ya taifa maarufu kama Three Lions ikijiandaa na mchezo mashabiki hao wametingisha Ufaransa kwa fujo kubwa mjini Marlseille.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS