Serengeti Boys yaipigisha kwata Shelisheli Taifa

Mfungaji wa bao la pili la Serengeti Boys, Ibrahim Abdallah akishangilia goli hilo.

Hayawi hayawi sasa yamekua hii ni baada ya hii leo vijana wa Serengeti Boys kuitoa kimasomaso Tanzania kwa mara nyingine tena mara hii ni katika michuano ya kufuzu kwa mashindano ya vijana wa miaka chini ya 17 barani Afrika wakiisurubu Shelisheli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS