Lewis Hamilton atwaa German GP

Madereva wawili wa timu moja ya Mercedes, Lewis Hamilton na Nico Rosberg bado wapo kwenye mchuano mkali wa mbio za magari, baada ya hii leo kuchuana tena, na Hamilton, kuibuka kidedea kwa ushindi wa German GP, lakini mwenzake akishika nafasi ya nne.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS