Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, akiwa na baadhi ya viongozi wa Mkoa wa Morogoro.
Waziri Mkuu Kasim Majaliwa, ameziagiza Halmashauri zote nchini kufanya mapitio ya watumishi wa mikataba ili kuona kama wana sifa za kuajiriwa na wale wasiokuwa na sifa basi waondolewe kwenye ajira hizo.