FSDT kufanya utafiti wa athari za sheria ya VAT

Mkurugenzi Mkuu wa FSDT Sosthenes Kewe (wa kwanza kulia) akiwa na Gavana wa Benki Kuu katika moja ya shughuli zilizofanywa na taasisi hiyo hivi karibuni.

Mfuko wa kuendeleza sekta ya fedha nchini FSDT umesema unakusudia kufanya utafiti kuhusu upatikanaji wa huduma za kifedha, utafiti utakaohusisha pia athari za kiuchumi zinazotokana na maboresho yaliyofanywa kwenye Sheria ya Ongezeko la Thamani VAT.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS