Mwanri atangaza vita na wauza miili na Bar mchana
Mkuu wa Tabora Aggrey Mwanri, ametangaza vita na Wanawake wanaofanya biashara ya kujiuza katika majengo ya starehe na Nyumba za kulala wageni, na wafanyabiashara wa Bar wanaowauza vileo nyakati za Asubuhi siku za kazi.

