TRA kuanza kukusanya kodi kwenye nyumba za kupanga
Mkurugenzi wa huduma na elimu kwa mlipakodi TRA, Bw. Richard Kayombo,
Mamlaka ya mapato nchini TRA inakusudia kuanza kukusanya kodi kutoka katika gharama za upangishaji na hivi karibuni itaanza kufanya uhakiki na mahesabu ya makadirio kwa ajili ya kukusanya kodi hiyo.