Serikali yarudisha hekari 18 za Tegeta Magereji

Mafundi na wafanyakazi wa eneo la Magereji Tegeta

Hatimaye serikali imefanikisha kuzirudisha  hekari 18  za eneo la Tegeta Magereji Jijini Dar es Salaam kati ya  hekari 32 ambazo zilikuwa zikimilikiwa na muwekezajii ikiwa ni jitihada za kutatua mgogoro wa ardhi wa eneo hilo uliodumu kwa muda mrefu .

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS