Serikali yarudisha hekari 18 za Tegeta Magereji
Hatimaye serikali imefanikisha kuzirudisha hekari 18 za eneo la Tegeta Magereji Jijini Dar es Salaam kati ya hekari 32 ambazo zilikuwa zikimilikiwa na muwekezajii ikiwa ni jitihada za kutatua mgogoro wa ardhi wa eneo hilo uliodumu kwa muda mrefu .
