Rais Magufuli aanza ziara nchini Kenya leo

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Rais wa Kenya Uhuru Kenyatta.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo ameondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta.Mhe. Uhuru Kenyatta.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS