Rais Magufuli aanza ziara nchini Kenya leo
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo ameondoka nchini kuelekea Nairobi nchini Kenya kwa ziara ya Kiserikali ya siku mbili nchini humo kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Kenya Mhe. Uhuru Kenyatta.Mhe. Uhuru Kenyatta.

