Hatuna mpango na Ajibu - Yanga

Ibrahim Ajibu

Mabingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara Yanga SC, imekanusha taarifa ya kumsajili mshambuliaji kutoka kwa mahasimu wao Simba SC, Ibrahim Ajibu na kuweka wazi kuwa nyota huyo hayumo kwenye mipango ya Yanga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS