Vifo vya uzazi bado tishio nchini Tanzania

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu

Imeelezwa kuwa kati ya wanawake 100,000 wanajifungua kwa mwaka nchini Tanzania, wanawake 432 hupoteza maisha kutokana na changamoto mbalimbali katika sekta ya afya hasa ukosefu wa huduma bora na zile za dharura pamoja na upungufu wa wauguzi wakunga.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS