Polisi waliowafanyia ukatili wanafunzi wafukuzwa

Kamanda wa Polisi mkoani Mbeya DCP Dhahiri Kidavashari

Jeshi la Polisi Mkoani Mbeya limewafukuza kazi askari wake wawili kutokana na kuwafanyia vitendo vinavyokwenda kinyume cha maadili wanafunzi wa kike wa kidato cha nne katika shule ya Sekondari ya Isuto  Kata ya Isuto, Wilaya ya Kipolisi Mbalizi.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS