Ajali za vifo Arusha zapungua kwa asilimia 24

Mkuu wa kikosi cha Usalama Barabarani mkoa wa Arusha (SSP) Nuru Kacharia akitoa takwimu juu ya hali ya usalama barabarani kwa wananchi wa Arusha wakati wa uzinduzi ya wiki ya nenda kwa usalama barabarani iliyofanyika jana katika uwanja wa Sheikh Amri Abeid jijini Arusha.

Katika kipindi cha toka Januari mpaka Oktoba mwaka 2016 ajali za vifo mkoani Arusha zimepungua kwa asilimia 24 ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka 2015, ambapo kulikuwa na jumla ya ajali 74 za huku mwaka huu kukiwa na ajali 56 pekee.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS