SUMA JKT kuanza ufugaji wa samaki Bahari ya Hindi

Rais Magufuli akimkaribisha Mkuu wa Jeshi la Kujenga Taifa Jenerali Michael Isamuhyo

Shirika la uzalishajimali lililo chini ya Jeshi la Kujenga Taifa (Suma - JKT) litaanza kutekeleza mpango wa kufuga samaki kwa kutumia vizimba (Cages) katika bahari ya Hindi baada ya mpango huo kuonesha mafanikio katika mito na maziwa mbalimbali.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS