Asilimia 50 wasema ELIMU BURE ina ubora - TWAWEZA Mkurugenzi Mkuu wa Twaweza, Aidan Eyakuze Asilimia 50 ya wananchi waliohojiwa katika utafiti wa kubainisha ubora wa elimu katika shule za serikali tangu kuanzishwa kwa mpango wa elimu bila malipo, wamekiri elimu hiyo kuwa na ubora. Read more about Asilimia 50 wasema ELIMU BURE ina ubora - TWAWEZA