Mgodi watozwa faini ya milioni 10 kwa kukosa choo

Mkurugeni mtendaji wa GGM (wa pili kulia) Bw. Terry Mulpeter akimuonyesha Naibu Waziri Mhe. Luhaga Mpina (katikati), bwawa linalotumika kusambaza maji safi katika mji wa Geita

Mgodi maarufu wa dhahabu mjini Geita wa GGM umekumbana na adhabu ya Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira NEMC katika Ziara ya Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina Mkoani Geita.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS