Serikali yaahidi kuipiga tafu ligi ya wanawake Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Nape Nnauye Wizara wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo imeahidi kulisaidia Shirikisho la Soka nchini TFF katika kukuza na kuendeleza Ligi ya Wanawake hapa nchini. Read more about Serikali yaahidi kuipiga tafu ligi ya wanawake