Benki ya Maendeleo ya Kilimo yatengewa bilioni 200

Naibu Waziri wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Mhe. William Ole Nasha

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imetengewa kiasi cha shilingi bilioni 200 katika mwaka wa fedha 2016/2017 kwa ajili ya kuongeza mikopo itakayowasaidia wakulima wadogo kuendesha shughuli za kilimo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS