Majambazi waendelea kuangukia mikononi mwa polisi Kamishna wa Polisi Simon Sirro Polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam imewakamata watuhumiwa zaidi ya 10 wakiwa na Bastola nne ,Browning 1 namba A731441, Revolver 2,Glock 19 yenye namba ELS377, milipuko 6 na risasi 16. Read more about Majambazi waendelea kuangukia mikononi mwa polisi