Serikali kuinua sekta ya viwanda kupitia VETA

Makamu wa Rais, Samia Suluhu Hassan

Makamu wa Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amesema serikali itaendelea kuviimarisha vyuo vya ufundi stadi nchini –VETA- ili viweze kutoa wahitimu bora ambao watakidhi katika soko la ajira hasa kwenye viwanda vilivyopo na vitakavyojengwa nchini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS