Samia aagiza doria mara dufu Ziwa Victoria

Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan akihutubia wakazi wa Nsola mkoani Mwanza

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan amewaagiza viongozi mkoa wa Mwanza kuimarisha maradufu doria katika Ziwa Victoria kama hatua ya kukabiliana na tatizo la uvuvi haramu ambao umepunguza samaki kwenye ziwa hilo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS