Magufuli amlilia mbunge wa Dimani, Hafidh Tahir

Marehemu Hafidh Ali Tahir

Rais wa tanzania Dkt. John Magufuli amemtumia salamu za rambirambi Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Job Ndugai kufuatia kifo cha Mbunge wa Jimbo la Dimani Zanzibar Mhe. Hafidh Ali Tahir.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS