Mlinzi wa Chelsea Gary Cahill (kulia) alipogongana kichwa na Ryan Mason wa Hull City
Kiungo wa klabu ya Hull City ya nchini Uingereza, Ryan Mason amefanyiwa upasuaji, baada ya kuvunjika fuvu la kichwa, kwenye mchezo wa ligi kuu ya soka nchini Uingereza, dhidi ya Chelsea, Jumapili.