Rapa watano wakali wa Madee hawa hapa

Madee (Kushoto) akiwa na Fid Q ndani ya FNL ya EATV

Rapa Madee leo amefunguka na kutaja wasanii wa Hip hop watano ambao anawakubali na anapenda kuwasikiliza mara kwa mara na kusema mtu wa kwanza ambaye yeye siku zote huwa anapenda kazi zake pia huwa anapenda kupata ushauri wake siku zote ni Fid Q.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS