AFCON yaanza kwa sare sare

Burkina Faso vs Cameroon

Michuano ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON 2017) imeanza usiku wa jana kwa kushuhudia sare mbili ikiwemo ya mwenyeji Gabon ambaye amelazimishwa sare ya bao 1-1 na Guinea Bissau katika mchezo wa ufunguzi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS