Ubingwa Kombe la Mapinduzi, Bocco afichua siri

Nahodha wa Azam, John Bocco (Katikati) akiongoza wachezaji wenzake wakati wakiingia na kombe la jijini Dar es Salaam kutoka Zanzibar

Nahodha wa Azam FC, John Bocco ‘Adebayor’, amefichua siri ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi mwaka huu, na kusema kuwa hivi sasa wanahamishia nguvu zao zote kwenye michezo ya ligi kuu Tanzania Bara.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS