Ubingwa Kombe la Mapinduzi, Bocco afichua siri
Nahodha wa Azam FC, John Bocco ‘Adebayor’, amefichua siri ya timu hiyo kutwaa ubingwa wa Kombe la Mapinduzi mwaka huu, na kusema kuwa hivi sasa wanahamishia nguvu zao zote kwenye michezo ya ligi kuu Tanzania Bara.