Pangani nzima sasa yawaka umeme

Kata zote kumi na nne katika jimbo la Pangani mkoani Tanga zimefanikiwa kupata umeme kupitia juhudi zilizofanywa na mbunge wa jimbo hilo Mhe. Juma Aweso akishirikiana na wizara ya nishati na madini.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS