Tumewasha moto wa tipa - Kocha Azam FC
Kocha Msaidizi wa Azam FC, Idd Nassor Cheche, aliyeiongoza timu hiyo kuchukua ubingwa wa Kombe la Mapinduzi, amesema moto waliouwasha kwenye kwenye michuano hiyo watauendeleza katika michuano ya ligi kuu Tanzania Bara na hakuna wa kuuzima.