Vita ya dawa za kulevya asionewe mtu - Nape
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Nape Nnauye amefunguka na kusema kuwa watu wote tunatakiwa kuungana kupambana vita dhidi ya dawa za kulevya ila vita hiyo inapswa kufanywa kwa kutenda haki na kusimamia haki na si kuwaonea watu.