Penati ya Messi yafufua mbio za ubingwa Barcelona Barcelona wakishangilia baada ya Messi kupiga bao la pili Barcelona walihitaji Penati ya Dakika ya 90 iliyofungwa na Lionel Messi ili kuifunga Leganes mabao 2-1 katika Mechi ya La Liga iliyochezwa Nou Camp usiki wa kuamkia leo. Read more about Penati ya Messi yafufua mbio za ubingwa Barcelona