Penati ya Messi yafufua mbio za ubingwa Barcelona

Barcelona wakishangilia baada ya Messi kupiga bao la pili

Barcelona walihitaji Penati ya Dakika ya 90 iliyofungwa na Lionel Messi ili kuifunga Leganes mabao 2-1 katika Mechi ya La Liga iliyochezwa Nou Camp usiki wa kuamkia leo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS