Raia 7 wa China watimuliwa nchini

Kamishna John Msumule

Idara ya Uhamiaji Kanda ya Dar es Salaam, imewataka raia 7 wa China kuondoka nchini kutokana na kukiuka taratibu sheria za ukazi, huku raia mmoja wa Uganda akishikiliwa kwa kuwa na hati 15 za kusafiria za Burundi na Madagascar kinyume cha Sheria

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS