VIDEO: Wema aeleza sababu ya kukimbilia CHADEMA
Msanii wa filamu nchi Tanzania Wema Sepetu ametangaza rasmi kukihama Chama cha Mapinduzi CCM na kuhamia Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) siku moja moja baada ya taarifa hizo kusambaa kupitia mitandao ya kijamii.