Simba wa maajabu atafuna mbao Kirumba Mechi ya mzunguko wa kwanza kati ya Simba na Mbao Dakika 3 kati ya 7 za nyongeza zimetosha kuipa ushindi wa mabao 3-2 timu ya Simba SC dhidi ya wapinzani wao Mbao FC katika mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara uliofanyika katika dimba la CCM Kirumba Jijini Mwanza. Read more about Simba wa maajabu atafuna mbao Kirumba