Ujenzi bomba la mafuta kutoka Uganda waiva
Rais wa Uganda Mhe. Yoweri Kaguta Museveni amemhakikishia Rais wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuwa yupo tayari kuweka jiwe la msingi la mradi wa ujenzi wa bomba la mafuta kutoka Hoima nchini Uganda hadi Bandari ya Tanga nchini Tanzania.