Serikali yatakiwa kujali wanafunzi wa kike

Mkurugenzi HAWA Foundation, Joyce kiria

Mkurugenzi wa Taasisi ya Haki za Wanawake (HAWA), Joyce Kiria ameiomba serikali kuondoa kodi kwa wafanyabiashara wa bidhaa za taulo zitumikazo wakati wa  hedhi (Pedi) ili watoto wa kike waliopo shuleni waweze kuzimudu kwa gharama nafuu.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS