Wanawake wa CCM wawakumbuka wagonjwa

Mh. Angela Kairuki akiongoza Wanawake wenzake wa CCM mkoa wa dar es Salaam kutoa msaada katika Hospitali ya Taifa Muhimbili

Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora Mhe. Angela Kairuki ameungana na wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili kufanya usafi katika maeneo mbalimbali ya hospitali hiyo kwa lengo la kuadhimisha Siku ya Wanawake duniani.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS