David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga Mwili wa David Kahela Kijana David Kahela, anayekadiriwa kuwa na umri wa miaka 29 mkazi wa Mtaa wa Makutano, amekutwa amefariki dunia katika mtaa wa Mhama, Kata ya Malangali, Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa. Read more about David akutwa amefariki mtaani Sumbawanga