Wakoloni wamechangia umaskini Afrika -Dkt Kikwete
Aliyekuwa rais wa Tanzania awamu ya nne Dkt. Jakaya Kikwete,amesema koloni za mataifa ya Afrika yamechangia kujikokota maendeleo Afrika kwasababu ya kutotoa usadizi wa aiana yeyote ikiwemo kuwanyima elimu waafrika wengi katika maeneo waliyoyatawala.

