Serikali yatoa muongozo upigaji chapa

Serikali kupitia wizara ya mifugo na uvuvi imetoa muongozo wa upigaji chapa mifugo kufuatia kuibuka kwa changamoto ya upigaji holela unaoharibu ngozi hali inayoweza kuifanya bidhaa hiyo kukataliwa kwenye soko la ndani na nje ya nchi

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS