Nasari anusurika kupigwa risasi usiku Mbunge wa Jimbo la arumeru Mashariki Joshua Nassari, amevamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake Usa River mkoani Arusha, na kunusurika kupigwa na risasi ambazo zimeua mbwa wake. Read more about Nasari anusurika kupigwa risasi usiku