Iran yakataa mazungumzo na Marekani

Iran imesema inapitia pendekezo la Marekani la kusitisha mapigano  lakini haina nia ya kufanya mazungumzo huku mashambulizi ya kila upande yakiendelea kuripotiwa na shinikizo likiongezeka la kuvimaliza vita hivyo kwa njia ya kidiplomasia.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS