Mtu 'asiyejulikana' akamatwa na Polisi Jeshi la Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya wamemkamata mwanamke mmoja mkazi wa 'Airport' ya zamani akiwa na mtoto mchanga jinsia ya kike aliyemuiba katika Hospitali ya Mkoa wa Mbeya. Read more about Mtu 'asiyejulikana' akamatwa na Polisi